Videoklip: Harmonize - Why (ft. Ben Pol)

Text piesne

Yeah
With best rnb singer
Kumbe wanichora
Ni king Jo
Yeah
Siri me na we ni lazima iwe serious
Show ni me na we na sioni ulazima ulete shazi
Soo ni ni me na we na sioni kama uongo ni kazi
Usione kama urafiki ni vyeti upate kazi
Sioni rafiki wa mbuzi eti keti mkune nazi
Urafiki mkia wa mbuzi mfupi na nyeti wazi
Nakushangaa u baniani mhaya
We na baniani mbaya
Waubani vipi haya
Yachumbani yakimwagika hadharani ujue ni haya
Haya wanashika nini washkaji washika mabaya
Yanawika jogoo hajawika alfajiri
Washayaanika kariakoo
Hawakai maneno yamewakalia koo
Kumbe nao wanataka kunikalia oooh
Makaa kwa nyumbani yangu wakiparty no
Waka moshi unavuma juu ndani ni pamoto
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma na kuniona bwege
Mama baba yereeeeee
Mama baba yereeeee
Utulie home nakupa vitamu
Usinitenge nazi kama embe la msimu
Utulie home nakupa vitamu
Na me nikulinde nizidi pata utamu
Najuaa hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Hasa kwanini mpenzi unakana
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
Wao Hawapendi kuona uko na me
Na wanasema mengi mradi uniache mimi
Sasa kwanini mpenzi unaongea naoo
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Kumbe unanichora unanichora baby
Tena wanisoma kuniona na bwege
Yele zele zele.
Yele zele zele
Yele yele zele
Zele zele zele